Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kufanya liwati?
Jibu: Maoni sahihi ni kwamba mfanyaji na mfanywaji ikiwa wote wawili wamekwishabaleghe. Lakini ikiwa ni mmoja tu katika wao ndiye kishabaleghe, atauliwa yule aliyekwishabaleghe.
Swali: Je, watapigwa mawe au watatupwa kutoka mahali pa juu?
Jibu: Maswahabah walitofautiana. Wako waliosema kuwa atachomwa moto, hata hivyo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Haadhibu kwa moto isipokuwa Muumba wa moto.”
Lakini watasimamishiwa adhabu kwa kuuliwa. Bora zaidi ni kuwapiga mawe mpaka wafe.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 245
- Imechapishwa: 10/03/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)