Swali 421: Ni ipi hukumu ya mfungaji kunusa harufu nzuri?
Jibu: Mfungaji kunusa harufu nzuri hakuna neno. Ni mamoja yawe mafuta au uvumba. Lakini ikiwa ni uvumba asivute moshi wake. Kwa sababu moshi uko na chembechembe ambazo zinaweza kuingia mpaka tumboni na hivyo akawa ni ameiharibu funga yake kama maji na mfano wake. Ama kule kunusa tu bila ya kuvuta ule moshi mpaka ukaingia kooni mwake hakuna neno.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 479
- Imechapishwa: 10/05/2019
Swali 421: Ni ipi hukumu ya mfungaji kunusa harufu nzuri?
Jibu: Mfungaji kunusa harufu nzuri hakuna neno. Ni mamoja yawe mafuta au uvumba. Lakini ikiwa ni uvumba asivute moshi wake. Kwa sababu moshi uko na chembechembe ambazo zinaweza kuingia mpaka tumboni na hivyo akawa ni ameiharibu funga yake kama maji na mfano wake. Ama kule kunusa tu bila ya kuvuta ule moshi mpaka ukaingia kooni mwake hakuna neno.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 479
Imechapishwa: 10/05/2019
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-mfungaji-kunusa-vitu-vyenye-hafuru-nzuri/