Swali: Ni ipi hukumu ya kuweka sawa kiatu ikiwa kiko chini-juu?
Jibu: Sijui msingi juu ya hili. Watu wasiokuwa na elimu wanatilia mkazo jambo hili na pindi wanapoona kiatu kiko chini-juu basi hukiweka sawa. Haidhuru kukiacha chini-juu au venginevyo.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (19)
- Imechapishwa: 28/02/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kuweka sawa kiatu ikiwa kiko chini-juu?
Jibu: Sijui msingi juu ya hili. Watu wasiokuwa na elimu wanatilia mkazo jambo hili na pindi wanapoona kiatu kiko chini-juu basi hukiweka sawa. Haidhuru kukiacha chini-juu au venginevyo.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (19)
Imechapishwa: 28/02/2021
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kuweka-sawa-kiatu-ikiwa-kiko-chini-juu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)