Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali kati ya nguzo?
Jibu: Kuswali kati ya nguzo inafaa wakati wa dhiki ya nafasi. Ama kukiweko nafasi ya kutosha haifai kuswali kati ya nguzo. Kwa sababu kufanya hivo kunakata safu.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 311
- Imechapishwa: 06/05/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali kati ya nguzo?
Jibu: Kuswali kati ya nguzo inafaa wakati wa dhiki ya nafasi. Ama kukiweko nafasi ya kutosha haifai kuswali kati ya nguzo. Kwa sababu kufanya hivo kunakata safu.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 311
Imechapishwa: 06/05/2020
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kuswali-kati-ya-nguzo/