Swali: Ni ipi hukumu ya kusikiliza Qur-aan inayosomwa kwa Tajwiyd na wasomaji mashuhuri huku wakisoma kwa kanuni zinazofanana na muziki?
Jibu: Ikiwa usomaji unakwenda zaidi ya kiwango kinachotakiwa na kuzidisha mpaka unaotakiwa, basi haisikiliziwi. Lakini ikiwa wanasoma kwa Tajwiyd na kwa kanuni zisizokuwa na neno – bila ya kuwepo ala za pumbao – hapana vibaya. Ama kusoma kwa namna inayofanana na hali ya anayesoma kwa muziki bila ya kuzingatia mipaka ya usomaji, haikubaliki. Ni lazima msomaji aheshimu mipaka ya usomaji wa Qur-aan.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/30974/ما-حكم-تلاوة-القران-على-قواعد-الموسيقى
- Imechapishwa: 18/09/2025
Swali: Ni ipi hukumu ya kusikiliza Qur-aan inayosomwa kwa Tajwiyd na wasomaji mashuhuri huku wakisoma kwa kanuni zinazofanana na muziki?
Jibu: Ikiwa usomaji unakwenda zaidi ya kiwango kinachotakiwa na kuzidisha mpaka unaotakiwa, basi haisikiliziwi. Lakini ikiwa wanasoma kwa Tajwiyd na kwa kanuni zisizokuwa na neno – bila ya kuwepo ala za pumbao – hapana vibaya. Ama kusoma kwa namna inayofanana na hali ya anayesoma kwa muziki bila ya kuzingatia mipaka ya usomaji, haikubaliki. Ni lazima msomaji aheshimu mipaka ya usomaji wa Qur-aan.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/30974/ما-حكم-تلاوة-القران-على-قواعد-الموسيقى
Imechapishwa: 18/09/2025
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kusoma-qur-aan-kwa-mtindo-wa-muziki/