Swali: Ni ipi hukumu ya kupinga adhabu ya kaburi?
Jibu: Ni ukafiri. Mwenye kupinga adhabu ya kaburi amekufuru. Kwa sababu amekadhibisha adhabu ya kaburi iliyotajwa katika Qur-aan na Sunnah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (79) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-11-7-1439.mp3
- Imechapishwa: 02/11/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kupinga adhabu ya kaburi?
Jibu: Ni ukafiri. Mwenye kupinga adhabu ya kaburi amekufuru. Kwa sababu amekadhibisha adhabu ya kaburi iliyotajwa katika Qur-aan na Sunnah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (79) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-11-7-1439.mp3
Imechapishwa: 02/11/2018
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kupinga-adhabu-ya-kaburi/