Swali: Ni ipi hukumu ya kunyanyua mikono katika Witr?
Jibu: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kunyanyua mikono katika Qunuut ya Witr. Kwa sababu ni miongoni mwa aina za Qunuut wakati wa majanga. Imethibiti kutoka kwake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba alinyanyua mikono yake wakati alipoomba du´aa katika Qunuut dhidi ya majanga. Ameipokea al-Bayhaqiy (Rahimahu Allaah) kwa cheni ya wapokezi Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (30/51)
Swali: Ni ipi hukumu ya kunyanyua mikono katika Witr?
Jibu: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kunyanyua mikono katika Qunuut ya Witr. Kwa sababu ni miongoni mwa aina za Qunuut wakati wa majanga. Imethibiti kutoka kwake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba alinyanyua mikono yake wakati alipoomba du´aa katika Qunuut dhidi ya majanga. Ameipokea al-Bayhaqiy (Rahimahu Allaah) kwa cheni ya wapokezi Swahiyh.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (30/51)
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kunyanyua-mikono-katika-witr/