Swali: Ni ipi hukumu ya kujifunza elimu ya mantiki na falsafa kwa wanafunzi wenye kuanza au wa sekondari?
Jibu: Haijuzu kujifunza elimu ya mantiki na falsafa. Itampelekea mtu katika yale iliyowapelekea waliokuwa kabla yake. Inatutosheleza elimu ya Qur-aan na Sunnah na kuwa na uelewa katika dini ya Allaah. Haya yanatutosheleza.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (14) http://alfawzan.af.org.sa/node/2057
- Imechapishwa: 22/04/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kujifunza elimu ya mantiki na falsafa kwa wanafunzi wenye kuanza au wa sekondari?
Jibu: Haijuzu kujifunza elimu ya mantiki na falsafa. Itampelekea mtu katika yale iliyowapelekea waliokuwa kabla yake. Inatutosheleza elimu ya Qur-aan na Sunnah na kuwa na uelewa katika dini ya Allaah. Haya yanatutosheleza.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (14) http://alfawzan.af.org.sa/node/2057
Imechapishwa: 22/04/2017
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kujifunza-elimu-ya-mantiki-na-falsafa/