Swali: Ni ipi hukumu ya kuingia bafuni kichwa wazi?
Jibu: Kuingia bafuni kichwa wazi hakuna neno. Lakini wanachuoni wamependekeza mtu kufunika kichwa chake anapoingia chooni.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/110)
- Imechapishwa: 14/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kuingia bafuni kichwa wazi?
Jibu: Kuingia bafuni kichwa wazi hakuna neno. Lakini wanachuoni wamependekeza mtu kufunika kichwa chake anapoingia chooni.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/110)
Imechapishwa: 14/06/2017
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kuingia-chooni-kichwa-wazi/