Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya I´tikaaf?
Jibu: I´tikaaf ni mtu kulazimiana na msikiti kwa ajili ya kumtii Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) ili apwekeke kutokamana na watu kwa ajili ya kujishughulisha na kumtii Allaah na kupata nafasi kwa ajili ya hilo. I´tikaaf inafanywa katika misikiti yote. Ni mamoja iwe ni msikiti unaoswaliwa ijumaa au msikiti usioswaliwa ijumaa. Lakini bora ni kufanya I´tikaaf katika msikiti unaoswaliwa ijumaa ili mtu asilazimike kutoka kwa ajili ya kuswali ijumaa.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (20/155)
- Imechapishwa: 15/06/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)