Swali: Ni ipi hukumu ya bima kamilifu ya gari?
Jibu: Bima haijuzu. Bima ni haramu na ni kula mali za watu kwa dhuluma. Unaweza ukalipa gharama ndogo, ukafikwa na ajali na kupata pesa nyingi kutoka katika mali za watu. Haijuzu kufanya hivo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Muhadhara: Waswiyyat-un-Nabiy http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/wasiyah%20nabi-21-11-1436-01.mp3
- Imechapishwa: 14/07/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya bima kamilifu ya gari?
Jibu: Bima haijuzu. Bima ni haramu na ni kula mali za watu kwa dhuluma. Unaweza ukalipa gharama ndogo, ukafikwa na ajali na kupata pesa nyingi kutoka katika mali za watu. Haijuzu kufanya hivo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Muhadhara: Waswiyyat-un-Nabiy http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/wasiyah%20nabi-21-11-1436-01.mp3
Imechapishwa: 14/07/2018
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-bima-kamilifu-ya-gari/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)