628 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu dhahabu iliyomo katika mapambo ya joho?
Jibu: Dhahabu yote ni haramu kwa wanaume. Ama kuhusu joho, tuliwauliza watu wa utaalamu ambapo wakasema kuwa haina dhahabu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 222
- Imechapishwa: 15/06/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
628 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu dhahabu iliyomo katika mapambo ya joho?
Jibu: Dhahabu yote ni haramu kwa wanaume. Ama kuhusu joho, tuliwauliza watu wa utaalamu ambapo wakasema kuwa haina dhahabu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 222
Imechapishwa: 15/06/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/nguo-za-wanaume-zenye-dhahabu/