Madhambi yetu ni mengi. Tukitawalishiwa watawala wakandamizaji, basi ni kutokana na madhambi yetu:
وَكَذَٰلِكَ نُوَلِّي بَعْضَ الظَّالِمِينَ بَعْضًا بِمَا كَانُوا يَكْسِبُونَ
”Na hivyo ndivyo Tunavyowafanya baadhi ya madhalimu kuwa marafiki wao kwa wao kwa yale waliyokuwa wakiyachuma.”[1]
Da´wah ya Ahl-us-Sunnah ni yenye kuitakia kheri jamii. Ndugu zetu walioingizwa gerezani Aden wamefanya kosa gani? Watu wote mpaka wakumonusti na wanajamaa wamepata msamaha. Wanatukandamiza sisi Ahl-us-Sunnah, lakini tunasubiri. Tunasubiri. Sunnah ndio inayofungua njia.
[1] 06:129
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://muqbel.net/sounds.php?sound_id=18
- Imechapishwa: 09/10/2020
Madhambi yetu ni mengi. Tukitawalishiwa watawala wakandamizaji, basi ni kutokana na madhambi yetu:
وَكَذَٰلِكَ نُوَلِّي بَعْضَ الظَّالِمِينَ بَعْضًا بِمَا كَانُوا يَكْسِبُونَ
”Na hivyo ndivyo Tunavyowafanya baadhi ya madhalimu kuwa marafiki wao kwa wao kwa yale waliyokuwa wakiyachuma.”[1]
Da´wah ya Ahl-us-Sunnah ni yenye kuitakia kheri jamii. Ndugu zetu walioingizwa gerezani Aden wamefanya kosa gani? Watu wote mpaka wakumonusti na wanajamaa wamepata msamaha. Wanatukandamiza sisi Ahl-us-Sunnah, lakini tunasubiri. Tunasubiri. Sunnah ndio inayofungua njia.
[1] 06:129
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://muqbel.net/sounds.php?sound_id=18
Imechapishwa: 09/10/2020
https://firqatunnajia.com/ndio-maana-tuna-watawala-wabaya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)