Swali: Je, Muusa (´alayhis-Salaam) alikuwa akiteremshiwa Wahy kupitia kwa Jibriyl (´alayhis-Salaam) au…
Jibu: Muusa ni mzungumzishwaji wa Allaah. Allaah alikuwa anazumgumzisha, anasikia sauti Yake na maneno Yake. Allaah alikuwa anazungumzisha moja kwa moja pasi na uunganishi wa Jibriyl.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (104) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/13-03-1441%D9%87%D9%80~1_0.mp3
- Imechapishwa: 12/12/2020
Swali: Je, Muusa (´alayhis-Salaam) alikuwa akiteremshiwa Wahy kupitia kwa Jibriyl (´alayhis-Salaam) au…
Jibu: Muusa ni mzungumzishwaji wa Allaah. Allaah alikuwa anazumgumzisha, anasikia sauti Yake na maneno Yake. Allaah alikuwa anazungumzisha moja kwa moja pasi na uunganishi wa Jibriyl.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (104) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/13-03-1441%D9%87%D9%80~1_0.mp3
Imechapishwa: 12/12/2020
https://firqatunnajia.com/ndio-maana-muusa-akaitwa-%d9%83%d9%84%d9%8a%d9%85-%d8%a7%d9%84%d9%84%d9%87/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)