Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Badilisha mvi hizi na jiepushe na rangi nyeupe.”[1]
Je, amri hii inafahamisha kuwa ni wajibu?
Jibu: Hapana. Kwa sababu wako Maswahabah ambao hawakuzibadilisha mvi – waliziacha nyeupe. Kwa hiyo kuzibadilisha rangi mvi inapendeza na sio wajibu. Wanazuoni wengi, akiwemo Shaykh Ibn Ibraahiym, Shaykh ´Abdul-Latwiyf bin Ibraahiym, Shaykh ´Umar bin Hasan na Shaykh as-Sa´diy, ndevu zao zilikuwa nyeupe na hawakuzibadilisha rangi. Kwa hiyo ikafahamisha kuwa kuzibadilisha rangi mvi inapendeza na sio wajibu.
[1] Ibn Hibbaan (5471).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (44)
- Imechapishwa: 12/07/2024
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Badilisha mvi hizi na jiepushe na rangi nyeupe.”[1]
Je, amri hii inafahamisha kuwa ni wajibu?
Jibu: Hapana. Kwa sababu wako Maswahabah ambao hawakuzibadilisha mvi – waliziacha nyeupe. Kwa hiyo kuzibadilisha rangi mvi inapendeza na sio wajibu. Wanazuoni wengi, akiwemo Shaykh Ibn Ibraahiym, Shaykh ´Abdul-Latwiyf bin Ibraahiym, Shaykh ´Umar bin Hasan na Shaykh as-Sa´diy, ndevu zao zilikuwa nyeupe na hawakuzibadilisha rangi. Kwa hiyo ikafahamisha kuwa kuzibadilisha rangi mvi inapendeza na sio wajibu.
[1] Ibn Hibbaan (5471).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (44)
Imechapishwa: 12/07/2024
https://firqatunnajia.com/ndio-maana-ikawa-sio-wajibu-kuzibadilisha-rangi-mvi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)