Swali: Je, Aayah zote za Qur-aan hazina mafumbo (مجاز)?
Jibu: Mafumbo ya lugha, ndio, na si mafumbo ya wanaistilahi. Ni mafumbo ya upanuzi wa lugha. Ama mafumbo yale ya wanabalagha, hapana, hayapo katika Qur-aan. Bali kilicho ndani yake ni upanuzi wa lugha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31085/هل-في-ايات-القران-مجاز
- Imechapishwa: 02/10/2025
Swali: Je, Aayah zote za Qur-aan hazina mafumbo (مجاز)?
Jibu: Mafumbo ya lugha, ndio, na si mafumbo ya wanaistilahi. Ni mafumbo ya upanuzi wa lugha. Ama mafumbo yale ya wanabalagha, hapana, hayapo katika Qur-aan. Bali kilicho ndani yake ni upanuzi wa lugha.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31085/هل-في-ايات-القران-مجاز
Imechapishwa: 02/10/2025
https://firqatunnajia.com/ndani-ya-qur-aan-kuna-mafumbo/