Swali: Kuhusu nchi za kiislamu, nyingi kati yao zina matendo ya ushirikina na kuna majengo wanayosema kuwa ni ya watu wema na kadhalika. Je, nchi hizi zinaitwa za Kiislamu au zisizo za Kiislamu?
Jibu: Hili ni jambo linahitaji kuangaliwa vyema. Ikiwa alama za ukafiri ndizo zinazoonekana zaidi katika nchi hiyo, basi ni nchi ya kikafiri. Na ikiwa alama za Uislamu ndizo zinazoonekana zaidi na ndizo zinazotawala, basi ni nchi ya Kiislamu. Hali inazingatiwa kulingana na kile kinachoonekana kwa uwazi na kilicho na nguvu zaidi ndani ya nchi hiyo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25418/هل-البلاد-التي-بها-ممارسات-شركية-تسمى-اسلامية
- Imechapishwa: 23/03/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)