Swali: Tunaomba nasaha kwa wanao Salafiyyuun walioko Libya kuhusiana na mambo yanayoendelea katika nchi yetu na kuna mikusanyiko kama ya wanajeshi na baadhi ya Khawaarij.
Jibu: Jiwekeni mbali na fitina. Jitengeneni mbali na fitina na mjaribu kuleta suluhu ikiwa itawezekana. Jiwekeni mbali na fitina na msiingie ndani ya fitina.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/15208
- Imechapishwa: 28/06/2020
Swali: Tunaomba nasaha kwa wanao Salafiyyuun walioko Libya kuhusiana na mambo yanayoendelea katika nchi yetu na kuna mikusanyiko kama ya wanajeshi na baadhi ya Khawaarij.
Jibu: Jiwekeni mbali na fitina. Jitengeneni mbali na fitina na mjaribu kuleta suluhu ikiwa itawezekana. Jiwekeni mbali na fitina na msiingie ndani ya fitina.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/15208
Imechapishwa: 28/06/2020
https://firqatunnajia.com/nasaha-za-al-fawzaan-kwa-watu-wa-libya/