Swali: Mimi nina ndugu wanaomtukana Allaah (Ta´ala) na mimi ninatangamana nao kama makafiri kwa njia ya kwamba siwatolei Salaam, lakini hata hivyo ninawanasihi kutubu na kuingia upya katika Uislamu. Je, kitendo changu ni sahihi?
Jibu: Ndio, kitendo chako hichi ni wajibu. Ni wajibu kuwalingania katika dini ya Allaah na kuwanasihi huenda wakatubu kwa Allaah. Wewe umetekeleza dhimma na uwajibu wako pale unapowalingania na kuwanasihi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13980
- Imechapishwa: 24/04/2018
Swali: Mimi nina ndugu wanaomtukana Allaah (Ta´ala) na mimi ninatangamana nao kama makafiri kwa njia ya kwamba siwatolei Salaam, lakini hata hivyo ninawanasihi kutubu na kuingia upya katika Uislamu. Je, kitendo changu ni sahihi?
Jibu: Ndio, kitendo chako hichi ni wajibu. Ni wajibu kuwalingania katika dini ya Allaah na kuwanasihi huenda wakatubu kwa Allaah. Wewe umetekeleza dhimma na uwajibu wako pale unapowalingania na kuwanasihi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13980
Imechapishwa: 24/04/2018
https://firqatunnajia.com/namna-ya-kutaamiliana-na-ndugu-anayemtukana-allaah/