Swali: Kuna kundi la watu walihudhuria katika swalah ya kupatwa kwa jua na imamu alikuwa mwishoni mwa Khutbah. Je, walipe kwa pamoja au kila mmoja kivyake?

Jibu: Wakilipa kwa pamoja au kila mmoja kivyake, jambo hili lina wasaa ndani yake.

  • Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
  • Imechapishwa: 15/09/2018