Swali: Nusu ya usiku unahesabiwa kuanzia baada ya ´ishaa?
Jibu: Usiku unahesabiwa kuanzia baada ya kuzama kwa jua mpaka kuchomoza kwa alfajiri. Nyakati hizo mbili unagawanya nusu mbili, jambo ambalo linatofautiana kutegemea na masiku na majira.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (17)
- Imechapishwa: 27/09/2020
Swali: Nusu ya usiku unahesabiwa kuanzia baada ya ´ishaa?
Jibu: Usiku unahesabiwa kuanzia baada ya kuzama kwa jua mpaka kuchomoza kwa alfajiri. Nyakati hizo mbili unagawanya nusu mbili, jambo ambalo linatofautiana kutegemea na masiku na majira.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (17)
Imechapishwa: 27/09/2020
https://firqatunnajia.com/namna-ya-kuhesabu-nusu-ya-usiku-kishariah/