Swali: Je, kukatana huondoka kwa salamu au kwa kurejea hali kama ilivyokuwa hapo awali?
Jibu: Kukatana huondoka kwa salamu. Ukamilifu wake ni kwamba hali irejee kama ilivyokuwa mwanzoni. Lakini dhahiri ya maneno yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mbora wao ni yule anayeanza salamu.”
ni kwamba inaondoka kwa salamu tu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25228/بماذا-يزول-هجر-المسلم-لاخيه
- Imechapishwa: 20/02/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)