Namna ambavyo miti na wanyama hustarehe kwa kuzikwa kafiri

Swali 320: Ni kwa namna gani miti na wanyama hupata kupumzika kutokana na jeneza la kafiri?

Jibu: Huenda mvua ikazuiliwa kwa sababu ya matendo ya makafiri. Hivyo hupata madhara.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 112
  • Imechapishwa: 25/05/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´