Swali: Wakati wa swalah mswaliji amekumbuka kuwa kuna najisi kwenye nguo zake na akawa ameosha najisi hii. Je, ni lazima kwake kurudi kutawadha upya?
Jibu: Hapana. Najisi iliyo kwenye nguo na mwilini inaondoshwa na wala wudhuu´ haurudiliwi. Hakutawadhiwi kwa sababu ya najisi. Wudhuu´ ni kitu kimoja na najisi ni kitu kingine.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (9) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340506.mp3
- Imechapishwa: 14/04/2017
Swali: Wakati wa swalah mswaliji amekumbuka kuwa kuna najisi kwenye nguo zake na akawa ameosha najisi hii. Je, ni lazima kwake kurudi kutawadha upya?
Jibu: Hapana. Najisi iliyo kwenye nguo na mwilini inaondoshwa na wala wudhuu´ haurudiliwi. Hakutawadhiwi kwa sababu ya najisi. Wudhuu´ ni kitu kimoja na najisi ni kitu kingine.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (9) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340506.mp3
Imechapishwa: 14/04/2017
https://firqatunnajia.com/najisi-ilio-kwenye-nguo-au-mwili-hailazimishi-kutawadha-tena/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
