Swali: Je, madhambi makubwa ni khatari zaidi kuliko Bid´ah ndogo?
Jibu: Hapana. Bid´ah ni khatari zaidi kuliko madhambi kwa kuwa ni kusema juu ya Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) bila ya elimu:
قُلْ إِنَّمَا حَرَّمَ رَبِّيَ الْفَوَاحِشَ مَا ظَهَرَ مِنْهَا وَمَا بَطَنَ وَالْإِثْمَ وَالْبَغْيَ بِغَيْرِ الْحَقِّ وَأَن تُشْرِكُوا بِاللَّـهِ مَا لَمْ يُنَزِّلْ بِهِ سُلْطَانًا وَأَن تَقُولُوا عَلَى اللَّـهِ مَا لَا تَعْلَمُونَ
“Sema: “Hakika Mola wangu Ameharamisha machafu [yote] yaliyodhihirika na yaliyofichika na dhambi [za kila aina], ukandamizaji bila ya haki na kumshirikisha Allaah kwa [chochote kile] ambayo hakukiteremshia mamlaka na kusema juu ya Allaah yale ambayo hamyajui.”(07:33)
Wanachuoni wanasema kuna matarajio kwa mtenda madhambi akatubu kwa sababu anafanya madhambi kwa sababu ya matamanio na hawaa zimemshinda ambapo hutubia. Hata hivyo mtu wa Bid´ah hatubii. Anaonelea kuwa yuko katika haki. Mtenda madhambi anajua kuwa anafanya madhambi na yuko khatarini. Mtu wa Bid´ah anaona kuwa yuko katika haki; hakubali lolote na hajirudi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/msrf–16041434.mp3
- Imechapishwa: 24/09/2020
Swali: Je, madhambi makubwa ni khatari zaidi kuliko Bid´ah ndogo?
Jibu: Hapana. Bid´ah ni khatari zaidi kuliko madhambi kwa kuwa ni kusema juu ya Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) bila ya elimu:
قُلْ إِنَّمَا حَرَّمَ رَبِّيَ الْفَوَاحِشَ مَا ظَهَرَ مِنْهَا وَمَا بَطَنَ وَالْإِثْمَ وَالْبَغْيَ بِغَيْرِ الْحَقِّ وَأَن تُشْرِكُوا بِاللَّـهِ مَا لَمْ يُنَزِّلْ بِهِ سُلْطَانًا وَأَن تَقُولُوا عَلَى اللَّـهِ مَا لَا تَعْلَمُونَ
“Sema: “Hakika Mola wangu Ameharamisha machafu [yote] yaliyodhihirika na yaliyofichika na dhambi [za kila aina], ukandamizaji bila ya haki na kumshirikisha Allaah kwa [chochote kile] ambayo hakukiteremshia mamlaka na kusema juu ya Allaah yale ambayo hamyajui.”(07:33)
Wanachuoni wanasema kuna matarajio kwa mtenda madhambi akatubu kwa sababu anafanya madhambi kwa sababu ya matamanio na hawaa zimemshinda ambapo hutubia. Hata hivyo mtu wa Bid´ah hatubii. Anaonelea kuwa yuko katika haki. Mtenda madhambi anajua kuwa anafanya madhambi na yuko khatarini. Mtu wa Bid´ah anaona kuwa yuko katika haki; hakubali lolote na hajirudi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/msrf–16041434.mp3
Imechapishwa: 24/09/2020
https://firqatunnajia.com/mzushi-ni-khatari-zaidi-kuliko-mtenda-madhambi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)