Swali: Kunaweza kupatikana Suufiy ambaye ni mzushi lakini hata hivyo ni mwenye bidii ya kusoma Qur-aan. Je, huyu ni katika mawalii wa shaytwaan?
Jibu: Kama tulivyosema uwalii unatofautiana. Anaweza kuwa na sehemu katika mapenzi ya Allaah na sehemu katika mapenzi ya shaytwaan. Amekusanya haya na haya. Uwalii unatofautiana.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (12) http://alfawzan.af.org.sa/node/2055
- Imechapishwa: 16/03/2017
Swali: Kunaweza kupatikana Suufiy ambaye ni mzushi lakini hata hivyo ni mwenye bidii ya kusoma Qur-aan. Je, huyu ni katika mawalii wa shaytwaan?
Jibu: Kama tulivyosema uwalii unatofautiana. Anaweza kuwa na sehemu katika mapenzi ya Allaah na sehemu katika mapenzi ya shaytwaan. Amekusanya haya na haya. Uwalii unatofautiana.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (12) http://alfawzan.af.org.sa/node/2055
Imechapishwa: 16/03/2017
https://firqatunnajia.com/mzushi-lakini-ana-bidii-za-ibaadah-je-ni-walii-wa-allaah/