Swali: Nasumbuliwa na mzio puani. Ninapopandisha maji puani wakati wa kutawadha, basi hali ya mzio inakuwa mbaya zaidi. Kipi natakiwa kufanya wakati wa kutawadha?
Jibu: Mosi nenda kwa daktari akutibu:
“Allaah hakuteremsha maradhi yoyote isipokuwa aliteremsha pia dawa; ameijua yule mwenye kuijua na ameijahili yule mwenye kuijahili.”[1]
Pili ikiwa maji yanakuathiri basi usipandishe maji sana. Pandisha maji kidogo tu. Ikiwa huwezi kabisa kuingiz maji puani, basi fanya Tayammum. Tawadha na fanya Tayammum badala ya kuingiza maji puani.
[1] at-Twabaraaniy katika ”al-Mu´jam al-Awsatw” (3/75). Swahiyh kwa mujibu wa Ibn ´Abdil-Barr katika ”at-Tamhiyd” (5/283).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
- Imechapishwa: 25/02/2022
Swali: Nasumbuliwa na mzio puani. Ninapopandisha maji puani wakati wa kutawadha, basi hali ya mzio inakuwa mbaya zaidi. Kipi natakiwa kufanya wakati wa kutawadha?
Jibu: Mosi nenda kwa daktari akutibu:
“Allaah hakuteremsha maradhi yoyote isipokuwa aliteremsha pia dawa; ameijua yule mwenye kuijua na ameijahili yule mwenye kuijahili.”[1]
Pili ikiwa maji yanakuathiri basi usipandishe maji sana. Pandisha maji kidogo tu. Ikiwa huwezi kabisa kuingiz maji puani, basi fanya Tayammum. Tawadha na fanya Tayammum badala ya kuingiza maji puani.
[1] at-Twabaraaniy katika ”al-Mu´jam al-Awsatw” (3/75). Swahiyh kwa mujibu wa Ibn ´Abdil-Barr katika ”at-Tamhiyd” (5/283).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
Imechapishwa: 25/02/2022
https://firqatunnajia.com/mzio-puani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket