Ahmad aliulizwa kama inafaa kwa mwanamke mzima kutufu katika Nyumba akiwa juu ya ngamia. Akajibu:
“Hapana. Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakutufu kwa njia hiyo isipokuwa ilikuwa ili watu waweze kumuona.”
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Abiy Harb al-Jarjaara’iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 33
- Imechapishwa: 14/03/2021
Ahmad aliulizwa kama inafaa kwa mwanamke mzima kutufu katika Nyumba akiwa juu ya ngamia. Akajibu:
“Hapana. Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakutufu kwa njia hiyo isipokuwa ilikuwa ili watu waweze kumuona.”
Muhusika: Imaam Muhammad bin Abiy Harb al-Jarjaara’iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 33
Imechapishwa: 14/03/2021
https://firqatunnajia.com/mzima-kutufu-kabah-akiwa-juu-ya-kipando/