Swali: Afanye nini ambaye ni mzee na hawezi kufunga?
Jibu: Ikiwa hawezi kufunga, si wakati wa sasa wala katika mustakabali – hiyo ni amana kati yake yeye na Allaah – basi anatakiwa kulisha chakula 1,5 kg kwa kila siku moja ambayo atakula.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Min Swifaat-il-Mu´miniyn https://godian.af.org.sa/sites/default/files/2017-09/s_0.mp3
- Imechapishwa: 24/09/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket