Swali: Baba akitaka mjukuu wake aitwe jina lake ambapo mtoto akakatakaa – je, kitendo hicho kinazingatiwa ni kuwaasi wazazi?
Jibu: Anapaswa kukubali ikiwa ni jina zuri.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (12) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=audioinfo&audioid=191546
- Imechapishwa: 01/09/2019
Swali: Baba akitaka mjukuu wake aitwe jina lake ambapo mtoto akakatakaa – je, kitendo hicho kinazingatiwa ni kuwaasi wazazi?
Jibu: Anapaswa kukubali ikiwa ni jina zuri.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (12) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=audioinfo&audioid=191546
Imechapishwa: 01/09/2019
https://firqatunnajia.com/mzazi-analazimisha-mjukuu-apewe-jina-lake/