263 – Nilimuuliza Shaykh kuhusu Hadiyth ya ´Aaishah:
“Alikuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anapokosa swalah ya usiku kwa sababu ya ugonjwa au jambo jingine, basi huswali mchana Rak´ah kumi na mbili.”
Je, hiyo ni kabla ya kupinduka kwa jua?
Jibu: Kabla ya kupinduka kwa jua na baada yake pia.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 98
- Imechapishwa: 10/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
263 – Nilimuuliza Shaykh kuhusu Hadiyth ya ´Aaishah:
“Alikuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anapokosa swalah ya usiku kwa sababu ya ugonjwa au jambo jingine, basi huswali mchana Rak´ah kumi na mbili.”
Je, hiyo ni kabla ya kupinduka kwa jua?
Jibu: Kabla ya kupinduka kwa jua na baada yake pia.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 98
Imechapishwa: 10/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/mwongozo-wa-mtume-anapokosa-swalah-ya-usiku/