263 – Nilimuuliza Shaykh kuhusu Hadiyth ya ´Aaishah:
“Alikuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anapokosa swalah ya usiku kwa sababu ya ugonjwa au jambo jingine, basi huswali mchana Rak´ah kumi na mbili.”
Je, hiyo ni kabla ya kupinduka kwa jua?
Jibu: Kabla ya kupinduka kwa jua na baada yake pia.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 98
- Imechapishwa: 10/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket