Abu ´Umar bin Hayyuuyah amesema:
“Wakati alipoletwa al-Hallaaj ili auliwe basi nilijipenyesha ili nipate kumuona. Akawaambia wafuasi wake: “Msipatwe na woga! Mimi nitakurudilieni baada ya siku thelathini.”
Kisa hiki ni sahihi kinachokuwekea wazi kwamba al-Hallaaj alikuwa mwongo mpaka wakati wa kuuliwa kwake.
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Siyar A´laam-in-Nubalaa’ (14/346)
- Imechapishwa: 30/10/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)