Swali: Kuna mtu ameokota pesa 10,000 SAR na akazitangaza. Baada ya kutimia mwaka akapatikana mwenye nazo, ambapo mwokotaji akakataa kumpa nazo mpaka ampe 1000 SAR. Je, yanafaa maombi haya?
Jibu: Ni haramu kwake. Haijuzu kwake. Ampe pesa zake. Mmiliki baadaye akimpa chochote kwa kutaka mwenyewe, hapana vibaya. Hata hivyo mwokotaji asishurutishe kupewa chochote.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (44)
- Imechapishwa: 12/07/2024
Swali: Kuna mtu ameokota pesa 10,000 SAR na akazitangaza. Baada ya kutimia mwaka akapatikana mwenye nazo, ambapo mwokotaji akakataa kumpa nazo mpaka ampe 1000 SAR. Je, yanafaa maombi haya?
Jibu: Ni haramu kwake. Haijuzu kwake. Ampe pesa zake. Mmiliki baadaye akimpa chochote kwa kutaka mwenyewe, hapana vibaya. Hata hivyo mwokotaji asishurutishe kupewa chochote.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (44)
Imechapishwa: 12/07/2024
https://firqatunnajia.com/mwokotaji-anashurutisha-apewe-zawadi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)