Swali: Kuna mtu ameokota pesa 10,000 SAR na akazitangaza. Baada ya kutimia mwaka akapatikana mwenye nazo, ambapo mwokotaji akakataa kumpa nazo mpaka ampe 1000 SAR. Je, yanafaa maombi haya?
Jibu: Ni haramu kwake. Haijuzu kwake. Ampe pesa zake. Mmiliki baadaye akimpa chochote kwa kutaka mwenyewe, hapana vibaya. Hata hivyo mwokotaji asishurutishe kupewa chochote.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (44)
- Imechapishwa: 12/07/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket