Swali 232: Vipi kuhusu mtu anayelala na kuacha kuswali Fajr na hali hiyo ndiyo mazoea yake?
Jibu: Anakufuru. Hilo limesemwa na baadhi yao. Hiyo ni kwa yule aliyekufurisha kwa kuacha swalah ambapo hakuna shubuha yoyote. Hata hivyo wanazuoni wengi wanaona kuwa hakufuru na kwamba amefanya dhambi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 93
- Imechapishwa: 03/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 232: Vipi kuhusu mtu anayelala na kuacha kuswali Fajr na hali hiyo ndiyo mazoea yake?
Jibu: Anakufuru. Hilo limesemwa na baadhi yao. Hiyo ni kwa yule aliyekufurisha kwa kuacha swalah ambapo hakuna shubuha yoyote. Hata hivyo wanazuoni wengi wanaona kuwa hakufuru na kwamba amefanya dhambi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 93
Imechapishwa: 03/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/mwenye-mazowea-ya-kukosa-fajr/