Baadhi ya wanachuoni wamesema mtu akiswali bila ya wudhuu´ kwa makusudi anatoka katika Uislamu. Ni mfanya mzaha. Hili ni tofauti na yule mwenye kusahau ambapo anatakiwa kurudi kuswali na hapati dhambi.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (02/333)
- Imechapishwa: 27/09/2024
Baadhi ya wanachuoni wamesema mtu akiswali bila ya wudhuu´ kwa makusudi anatoka katika Uislamu. Ni mfanya mzaha. Hili ni tofauti na yule mwenye kusahau ambapo anatakiwa kurudi kuswali na hapati dhambi.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (02/333)
Imechapishwa: 27/09/2024
https://firqatunnajia.com/mwenye-kutawadha-bila-ya-wudhuu-kwa-kukusudia/