Swali: Nini maana ya msemo huu:
“Mwenye kukaa na Ahl-ul-Bid´ah wal-Ahwaa´ ana shari zaidi kwetu kuliko Ahl-ul-Bid´ah”?
Jibu: Mmeshasikia hili. Lakini kukaa na Ahl-ul-Bid´ah haijuzu. Mtu anaathirika nao. Mtu anatakiwa kujitenga mbali na Ahl-ul-Bid´ah na wazushi ili asije kuathirika kwayo na akawa miongoni mwa wazushi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Haqiyqatu Da´wat-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17206
- Imechapishwa: 01/01/2018
Swali: Nini maana ya msemo huu:
“Mwenye kukaa na Ahl-ul-Bid´ah wal-Ahwaa´ ana shari zaidi kwetu kuliko Ahl-ul-Bid´ah”?
Jibu: Mmeshasikia hili. Lakini kukaa na Ahl-ul-Bid´ah haijuzu. Mtu anaathirika nao. Mtu anatakiwa kujitenga mbali na Ahl-ul-Bid´ah na wazushi ili asije kuathirika kwayo na akawa miongoni mwa wazushi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Haqiyqatu Da´wat-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17206
Imechapishwa: 01/01/2018
https://firqatunnajia.com/mwenye-kukaa-au-kuwasikiliza-ahl-ul-bidah-anaathirika-nao/