Swali 157: Vipi kuhusu ambaye amemruhusu mwenye janaba kukaa msikitini akitawadha?
Jibu: Wameyasema hayo watu kadhaa. Hata hivyo kuacha kufanya hivo ndio bora zaidi.
158 – Je, hayo hayakupokelewa kutoka kwa Maswahabah?
Jibu: Inasemwa hivyo. Hata hivyo bora zaidi ni kushikamana na maandiko kwa ujumla, au inachukuliwa kuwa hawakujua.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 71
- Imechapishwa: 28/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)