Swali 157: Vipi kuhusu ambaye amemruhusu mwenye janaba kukaa msikitini akitawadha?
Jibu: Wameyasema hayo watu kadhaa. Hata hivyo kuacha kufanya hivo ndio bora zaidi.
158 – Je, hayo hayakupokelewa kutoka kwa Maswahabah?
Jibu: Inasemwa hivyo. Hata hivyo bora zaidi ni kushikamana na maandiko kwa ujumla, au inachukuliwa kuwa hawakujua.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 71
- Imechapishwa: 28/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 157: Vipi kuhusu ambaye amemruhusu mwenye janaba kukaa msikitini akitawadha?
Jibu: Wameyasema hayo watu kadhaa. Hata hivyo kuacha kufanya hivo ndio bora zaidi.
158 – Je, hayo hayakupokelewa kutoka kwa Maswahabah?
Jibu: Inasemwa hivyo. Hata hivyo bora zaidi ni kushikamana na maandiko kwa ujumla, au inachukuliwa kuwa hawakujua.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 71
Imechapishwa: 28/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/mwenye-janaba-kukaa-msikitini-akitawadha/