Swali 385: Inafaa kwa mwanamke mwenye hedhi kumuosha maiti na kumkafini?
Jibu: Inajuzu kwa mwanamke mwenye hedhi kumuosha na kumkafini mwanamke. Inafaa pia kumuosha mwanaume ambaye ni mume wake pekee. Hedhi haizingatiwi kuwa ni kizuizi kumuosha maiti.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 153
- Imechapishwa: 21/09/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
Related
Mwenye hedhi kumuosha maiti II
Swali: Je, inafaa kwa mwanamke mwenye hedhi kumuosha maiti? Jibu: Hapana vibaya ikihitajika. Jambo hilo halina neno. Ameshakufa. Anamuosha maiti au mume wake.
In "Ibn Baaz kuhusu mazishi"
32. Usimamizi wa jeneza la mwanamke na kuhusu sanda
Allaah amefaradhisha kifo juu ya kila nafsi na akajifanyia Yeye pekee (Subhaanah) ndiye Mwenye kubaki. Amesema (Ta´ala): كُلُّ مَنْ عَلَيْهَا فَانٍ وَيَبْقَىٰ وَجْهُ رَبِّكَ ذُو الْجَلَالِ وَالْإِكْرَامِ “Kila aliyekuwa juu yake [ardhi] ni mwenye kutoweka na utabakia uso wa Mola wako wenye utukufu na ukarimu.”[1] Inapokuja katika suala la jeneza akawahusu…
In "06. Sura ya sita: Hukumu zinazomuhusu mwanamke katika mlango wa jeneza"
Kumswalia maiti kabla ya kumuosha
Swali: Inafaa kumswalia maiti kabla ya kumuosha? Jibu: Hapana. Miongoni mwa sharti za kusihi kwa swalah juu ya maiti ni hayo yafanyike baada ya kuosha.
In "al-Fawzaan kuhusu mazishi"