Swali: Mwanaume anayetumia manukato ya wanawake anaingia katika Hadiyth ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Allaah Amlaani mwanaume mwenye kujifananisha na wanawake.”?
Jibu: Ndio. Mambo ambayo ni maalum kwa wanawake wanaume wasiyatumie na mambo ambayo ni maalum kwa wanaume wanawake wasiyatumuie.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (43) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-03-17.MP3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Mwanaume anayetumia manukato ya wanawake anaingia katika Hadiyth ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Allaah Amlaani mwanaume mwenye kujifananisha na wanawake.”?
Jibu: Ndio. Mambo ambayo ni maalum kwa wanawake wanaume wasiyatumie na mambo ambayo ni maalum kwa wanaume wanawake wasiyatumuie.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (43) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-03-17.MP3
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/mwanaume-kutumia-manukato-ya-wanawake/