Swali 665: Baadhi ya wanazuoni wanasema kwamba kustarehe kwa sauti ya mwanamke asiye Mahram yako ni haramu?
Jibu: Haiko mbali.
Swali 666: Nikamuuliza kama si ni haramu kwa maafikiano?
Jibu: Sijui kuhusu maafikiano. Kisha akataja baadhi ya dalili ikiwa ni pamoja na:
فَلَا تَخْضَعْنَ بِالْقَوْلِ
”Msilegeze kauli.” (33:32)
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 241
- Imechapishwa: 26/06/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 665: Baadhi ya wanazuoni wanasema kwamba kustarehe kwa sauti ya mwanamke asiye Mahram yako ni haramu?
Jibu: Haiko mbali.
Swali 666: Nikamuuliza kama si ni haramu kwa maafikiano?
Jibu: Sijui kuhusu maafikiano. Kisha akataja baadhi ya dalili ikiwa ni pamoja na:
فَلَا تَخْضَعْنَ بِالْقَوْلِ
”Msilegeze kauli.” (33:32)
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 241
Imechapishwa: 26/06/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/mwanaume-kustarehe-kwa-sauti-ya-mwanamke/