Swali: Je, inajuzu kwa mwanaume kumwangalia mwanamke wakati wa kuuza na kununua?
Jibu: Hapana, ainamishe macho yake na asiangalie. Isipokuwa akiwa ni kijakazi anataka kumnunua. Akiwa ni kijakazi anayetaka kumnunua hapana vibaya akatazama yale anayoyahitaji. Kuhusu biashara haifai; ni lazima kwa mwanamke huyo kujisitiri na ni lazima kwa mwanaume huyo kuinamisha macho chini.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23870/حكم-نظر-الرجل-للمراة-في-البيع-والشراء
- Imechapishwa: 26/05/2024
Swali: Je, inajuzu kwa mwanaume kumwangalia mwanamke wakati wa kuuza na kununua?
Jibu: Hapana, ainamishe macho yake na asiangalie. Isipokuwa akiwa ni kijakazi anataka kumnunua. Akiwa ni kijakazi anayetaka kumnunua hapana vibaya akatazama yale anayoyahitaji. Kuhusu biashara haifai; ni lazima kwa mwanamke huyo kujisitiri na ni lazima kwa mwanaume huyo kuinamisha macho chini.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23870/حكم-نظر-الرجل-للمراة-في-البيع-والشراء
Imechapishwa: 26/05/2024
https://firqatunnajia.com/mwanaume-kumwangalia-mwanamke-wakati-wa-biashara/