Swali: Inafaa kwa mwanaume Muhrim kufunika uso wake wakati wa kulala?
Jibu: Hakuna neno kufanya hivo japokuwa wanachuoni wametofautiana. Lakini maoni sahihi ni kwamba hakuna neno. Kilichokatazwa ni kufunika kichwa chake. Ama kufunika uso hakuna neno.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (22) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdatul-26-3-1435.mp3
- Imechapishwa: 22/03/2020
Swali: Inafaa kwa mwanaume Muhrim kufunika uso wake wakati wa kulala?
Jibu: Hakuna neno kufanya hivo japokuwa wanachuoni wametofautiana. Lakini maoni sahihi ni kwamba hakuna neno. Kilichokatazwa ni kufunika kichwa chake. Ama kufunika uso hakuna neno.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (22) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdatul-26-3-1435.mp3
Imechapishwa: 22/03/2020
https://firqatunnajia.com/mwanaume-kufunika-uso-wakati-wa-ihraam/