Swali: Je, kila muumini Peponi atakuwa na wanawake sabini na mbili au hili ni maalum kwa waliokufa ni mashahidi katika njia ya Allaah?
Jibu: Allaah ndiye anajua zaidi. Watakuwa na wake Peponi. Kuhusu idadi ya ni wake wangapi, Allaah ndiye anajua zaidi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-4-6.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Je, kila muumini Peponi atakuwa na wanawake sabini na mbili au hili ni maalum kwa waliokufa ni mashahidi katika njia ya Allaah?
Jibu: Allaah ndiye anajua zaidi. Watakuwa na wake Peponi. Kuhusu idadi ya ni wake wangapi, Allaah ndiye anajua zaidi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-4-6.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/mwanaume-atakuwa-na-wake-wangapi-peponi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)