Swali: Je, ni sahihi kwa wanawake wenye hedhi kuingia msikitini?
Jibu: Sijui kitu chochote kinachokataza jambo hilo. Hadiyth inayosema:
“Siuhalalishi msikiti kwa mwanamke mwenye hedhi au wala mwenye janaba.”[1]
ni dhaifu.
[1] Abu Daawuud (232). Dhaifu kwa mujibu wa al-Albaaniy i “Dhwa´iyf-ul-Jaamiy´” (6117).
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 598-599
- Imechapishwa: 10/07/2025
Swali: Je, ni sahihi kwa wanawake wenye hedhi kuingia msikitini?
Jibu: Sijui kitu chochote kinachokataza jambo hilo. Hadiyth inayosema:
“Siuhalalishi msikiti kwa mwanamke mwenye hedhi au wala mwenye janaba.”[1]
ni dhaifu.
[1] Abu Daawuud (232). Dhaifu kwa mujibu wa al-Albaaniy i “Dhwa´iyf-ul-Jaamiy´” (6117).
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 598-599
Imechapishwa: 10/07/2025
https://firqatunnajia.com/mwanamke-mwenye-hedhi-kuingia-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
