Swali: Hedhi ya mwanamke imekuja kipindi cha adhuhuri. Je, ni lazima kwake kufungua au akamilishe funga yake mpaka wakati wa magharibi?
Jibu: Anatakiwa kufungua pale tu atakapopata hedhi hata kama ni muda kidogo tu kabla ya jua kuzama. Hata hivo atalazimika kuilipa siku hiyo. Lakini akipata ada yake baada ya jua kuzama, swawm yake ni sahihi.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin Humayd
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Ibn Humayd, uk. 174
- Imechapishwa: 05/05/2021
Swali: Hedhi ya mwanamke imekuja kipindi cha adhuhuri. Je, ni lazima kwake kufungua au akamilishe funga yake mpaka wakati wa magharibi?
Jibu: Anatakiwa kufungua pale tu atakapopata hedhi hata kama ni muda kidogo tu kabla ya jua kuzama. Hata hivo atalazimika kuilipa siku hiyo. Lakini akipata ada yake baada ya jua kuzama, swawm yake ni sahihi.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin Humayd
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Ibn Humayd, uk. 174
Imechapishwa: 05/05/2021
https://firqatunnajia.com/mwanamke-mfungaji-amepata-ada-yake-wakati-wa-adhuhuri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)