139 – Nilimuuliza Shaykh ni nini hukumu ya mwanamke kukojoa akiwa amesimama?
Jibu: Msingi ni kwamba inajuzu, lakini inapaswa kujisitiri. Hata hivyo ikiwa itapelekea kunajisika kwa miguu – na hii ndio hali ya kawaida – basi haitofaa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 66
- Imechapishwa: 26/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)