139 – Nilimuuliza Shaykh ni nini hukumu ya mwanamke kukojoa akiwa amesimama?
Jibu: Msingi ni kwamba inajuzu, lakini inapaswa kujisitiri. Hata hivyo ikiwa itapelekea kunajisika kwa miguu – na hii ndio hali ya kawaida – basi haitofaa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 66
- Imechapishwa: 26/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
139 – Nilimuuliza Shaykh ni nini hukumu ya mwanamke kukojoa akiwa amesimama?
Jibu: Msingi ni kwamba inajuzu, lakini inapaswa kujisitiri. Hata hivyo ikiwa itapelekea kunajisika kwa miguu – na hii ndio hali ya kawaida – basi haitofaa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 66
Imechapishwa: 26/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kukojoa-kwa-kusimama/