Swali: Kuna mwanamke amelipa Swawm ya Ramadhaan. Je, inajuzu kwake kula katikati ya mchana ili aweze kukaa na mke wake?
Jibu: Hapana. Kila Swawm ambayo ni ya wajibu kukiwemo ya kafara, mtu akishaiingia ndani yake, ni wajibu kukamilisha siku. Anayeingia katika (Swawm ya) faradhi ni haramu kuikata. Akamilishe siku. Ama kuhusu Naafilah, hakuna neno.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (65) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13832
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Kuna mwanamke amelipa Swawm ya Ramadhaan. Je, inajuzu kwake kula katikati ya mchana ili aweze kukaa na mke wake?
Jibu: Hapana. Kila Swawm ambayo ni ya wajibu kukiwemo ya kafara, mtu akishaiingia ndani yake, ni wajibu kukamilisha siku. Anayeingia katika (Swawm ya) faradhi ni haramu kuikata. Akamilishe siku. Ama kuhusu Naafilah, hakuna neno.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (65) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13832
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kukata-swawm-ya-deni-la-ramadhaan-kwa-ajili-ya-kustarehe-na-mume-wake/