Swali: Je, inafaa kwa mwanamke wa Kiislamu anayeishi nje ya nchi hii kufanya kazi kwenye mgahawa ulio na mchanganyiko kati ya wanaume na wanawake?
Jibu: Hapana. Ikiwa kuna kitengo kilichowekwa maalum kwa wanawake hakuna neno. Asiwahudumie wanaume.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (68) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/27-06-1438h.mp3
- Imechapishwa: 16/07/2017
Swali: Je, inafaa kwa mwanamke wa Kiislamu anayeishi nje ya nchi hii kufanya kazi kwenye mgahawa ulio na mchanganyiko kati ya wanaume na wanawake?
Jibu: Hapana. Ikiwa kuna kitengo kilichowekwa maalum kwa wanawake hakuna neno. Asiwahudumie wanaume.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (68) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/27-06-1438h.mp3
Imechapishwa: 16/07/2017
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kufanyakazi-katika-mgahawa-mchanganyiko/