Swali: Ipi hukumu ya mwanamke kumwangalia mwanaume kwenye TV; kama kuangalia du´aa, mashaykh na wanachuoni wakati wanatoa mihadhara?
Jibu: Kwa kweli haya mambo ya kuhudhuria wanaume mbele ya wanawake na wanawake mbele ya wanaume, huu ni msiba. Anaweza kusikiliza mawaidha na duruus kwenye redio na asitazame sura.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/alldroos?tid_1=240
- Imechapishwa: 09/11/2014
Swali: Ipi hukumu ya mwanamke kumwangalia mwanaume kwenye TV; kama kuangalia du´aa, mashaykh na wanachuoni wakati wanatoa mihadhara?
Jibu: Kwa kweli haya mambo ya kuhudhuria wanaume mbele ya wanawake na wanawake mbele ya wanaume, huu ni msiba. Anaweza kusikiliza mawaidha na duruus kwenye redio na asitazame sura.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/alldroos?tid_1=240
Imechapishwa: 09/11/2014
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kuangalia-mawaidha-ya-video-ya-mwanaume-kwenye-tv/